Uzoefu wa Walimu katika kufundisha kwa kutumia teknolojia nchini Tanzania Mapendekezo Juu ya Sera na Utekelezaji

Resource type
Report
Authors/contributors
Title
Uzoefu wa Walimu katika kufundisha kwa kutumia teknolojia nchini Tanzania Mapendekezo Juu ya Sera na Utekelezaji
Abstract
This is a Swahili version of the policy brief Teachers’ Experiences of Teaching With Technology in Tanzania: Recommendations for policy and practice published in October 2022. Muhtasari huu wa masuala ya kisera unatoa ripoti ya utafiti wa walimu nchini Tanzania (Julai-Novemba 2021) ambao EdTech Hub iliagiza HakiElimu kuufanya ili kuchangia taarifa itakayosaidia mchakato endelevu wa serikali kuleta mageuzi ya MEWAKA katika ngazi za shule na vituo vya walimu. Dodoso zilichukuliwa kutoka katika uchunguzi wa kihistoria wa kimataifa uliohusisha takriban walimu 20,000+ , kuhusu uzoefu na changamoto zao katika ufikiaji na matumizi ya EdTech, ufundishaji na ujifunzaji, na maendeleo ya kitaaluma katika mwaka 2021, iliyoripotiwa na timu kutoka T4 Education na EdTech Hub. Maneno muhimu: teknolojia ya elimu; matokeo ya kujifunza; mahitaji ya mwalimu; mafunzo endelevu ya taaluma ya ualimu; sauti ya mwalimu / Kauli ya mwalimu; ufikiaji wa teknolojia An output of the EdTech Hub, https://edtechhub.org
Report Type
Muhtasari Wa Sera / Policy Brief
Institution
EdTech Hub
Date
2023
Language
Swahili
Call Number
0147
Rights
Creative Commons Attribution 4.0 International
Extra
DOI 10.53832/edtechhub.0147 ZenodoArchiveID: 7652491 ZenodoArchiveConcept: 7652490 2405685:ECXPS38I
Citation
Hennessy, S., Koomar, S., & Kreimeia, A. (2023). Uzoefu wa Walimu katika kufundisha kwa kutumia teknolojia nchini Tanzania Mapendekezo Juu ya Sera na Utekelezaji [Muhtasari Wa Sera / Policy Brief]. EdTech Hub. https://docs.edtechhub.org/lib/ECXPS38I
Education systems
Hardware and modality
Language of publication
Publisher and type
Focus Countries